Maelezo ya Chini
c Ingawa andiko la Masora lasema kwamba yule mtoro aliyeponyoka aliwasili kutoka Yerusalemu katika mwaka wa 12, hati nyingine zasomwa “mwaka wa kumi na mmoja,” na andiko hilo limetafsiriwa hivyo na Lamsa na Moffatt na pia katika An American Translation.