Maelezo ya Chini
a Yapasa iangaliwe kwamba zile “siku” sita za uumbaji hazitii ndani ile taarifa kwenye Mwanzo 1:1, ambayo hurejezea uumbaji wa yale maumbo ya kimbingu. Zaidi ya hilo, neno la Kiebrania litafsiriwalo “siku” huruhusu kuwe na wazo la kwamba matukio yaelezwayo kwenye Mwanzo 1:3-31 yalitukia kwa ‘vipindi vya wakati’ sita ambavyo vingeweza kuwa na urefu wa maelfu mengi ya miaka.—Linganisha Mwanzo 2:4.