Maelezo ya Chini
a Usomaji wa juujuu wa unabii huo ungeweza kutoa wazo kwamba katika siku za mwisho, kungekuwako kuongolewa kwa wengi sana wa mataifa kuingia katika Dini ya Kiyahudi. Hata hivyo, muktadha, pamoja na matukio ya kisasa, huonyesha kwamba hayo siyo maoni sahihi. Mazungumzo katika sehemu hii na ile inayofuata yatakuwa msaada pia katika kuelewa kwa nini sisi twafikia mkataa huo.