Maelezo ya Chini
d Mwanahistoria Myahudi Joseph Klausner aliandika hivi: “Mtu kama Yesu, ambaye kwake kanuni bora ya adili ilikuwa ya maana sana, alikuwa kitu kisichopata kusikiwa katika Dini ya Kiyahudi ya wakati huo. . . . Hivyo, mafundisho yake ya kiadili, kwa wazi hupita yale ya Pirkē Aboth na ya fasihi nyingineyo ya Talmud na ya Midrash. Hayapotelei katikati ya kiasi kikubwa mno cha maagizo ya kisheria-sheria na mambo ya habari ya kilimwengu.”12