Maelezo ya Chini
a Kwa kielelezo, Wakristo fulani wa karne ya kwanza wangeweza kutoa ushahidi juu ya mambo hakika ya kihistoria juu ya Yesu—juu ya maisha, kifo, na ufufuo wake—kwa kutumia ujuzi wao wenyewe. (Mdo. 1:21, 22; 10:40, 41) Hata hivyo, watu ambao baadaye walikuwa na imani katika Yesu wangeweza kutoa ushahidi kwa kupigia wengine mbiu ya umaana wa uhai, kifo, na ufufuo wake.—Mdo. 22:15.