Maelezo ya Chini
a Katika Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo, “kutaniko” nyakati fulani hutumiwa katika maana ya ujumla, likirejezea kutaniko lote la Kikristo (1 Kor. 12:28, NW); huenda pia likarejezea kikundi cha mahali fulani katika jiji fulani au katika makao ya mtu fulani.—Mdo. 8:1, NW; Rum. 16:5, NW.