Maelezo ya Chini
a Katika Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo, nomino “uasi-imani” (Kigiriki, a·po·sta·siʹa) ina maana ya “kuondoka katika, kuachilia mbali au uasi.” (Mdo. 21:21, NW, kielezi-chini) Hapo hasa linarejezea kuacha njia kidini; kujiondoa kutoka kwenye ibada ya kweli au kuiachilia mbali.