Maelezo ya Chini
b Katika Maandiko maneno “mwangalizi” na “mwanamume mzee,” au “mzee,” hurejezea cheo kilekile kimoja. (Mdo. 20:17, 28, NW; Tito 1:5, 7, NW) “Mwanamume mzee” huonyesha sifa za ukomavu za yule ambaye huwekwa rasmi hivyo, na “mwangalizi” huonyesha daraka lililo asili ya kuwekwa rasmi huko—kuangalia masilahi za watu wale waliokabidhiwa kwenye utunzaji wake.