Maelezo ya Chini
d Neno la Kiingereza “priest” (kuhani au padri) latokana na pre·sbyʹte·ros (“mwanamume mzee,” au “mzee”) kama ifuatavyo: kutokana na neno pre(e)st la Kiingereza cha Enzi ya Katikati, lililotokana na neno prēost la Kiingereza cha Zamani, lililotokana na neno prester la Kilatini cha watu wa kawaida, lililofupishwa kutokana na neno presbyter la Kilatini cha Baadaye, lililotokana na pre·sbyʹte·ros la Kigiriki.