Maelezo ya Chini
g Maoni hayo hudhania kimakosa kwamba wakati wa kifo Wakristo wote huenda mbinguni. Hata hivyo, Biblia hufundisha kwamba watu 144,000 tu ndio huitwa wakatawale pamoja na Kristo mbinguni. (Ufu. 7:4-8; 20:4-6) Wengine wasio na hesabu wanaweza kuwa na tumaini la uhai wa milele katika dunia paradiso chini ya Ufalme wa Kristo.—Mt. 6:10; Ufu. 7:9, 15.