Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

b Wala Barbour wala Russell sio waliokuwa wa kwanza kueleza kurudi kwa Bwana kuwa kuwapo kusikoonekana. Mapema zaidi, Sir Isaac Newton (1642-1727) alikuwa ameandika kwamba Kristo angerudi na kutawala “bila kuonekana kwa wanadamu.” Katika 1856, Joseph Seiss, mhudumu Mluther katika Philadelphia, Pennsylvania, alikuwa ameandika juu ya kuja kwa pili kwenye hatua mbili—pa·rou·siʹa, au kuwapo kusikoonekana, kukifuatwa na udhihirisho wenye kuonekana. Kisha, katika 1864, Benjamin Wilson alikuwa ametangaza Emphatic Diaglott yake ikiwa na usomekaji wa katikati ya mistari “kuwapo,” kwa ajili ya neno pa·rou·siʹa, si “kuja,” na B. W. Keith, mshirika wa Barbour, alikuwa ameelekeza uangalifu wa Barbour na washirika wake kwenye jambo hilo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki