Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

c Kulingana na katiba ya Watch Tower Society, baraza la waelekezi lilipasa kuwa na washiriki saba. Katiba hiyo iliandaa nafasi ili washiriki walio hai wa baraza la waelekezi wajazie nafasi iliyo wazi. Hivyo, siku mbili baada ya kifo cha Russell, baraza la waelekezi lilikutana na kuchagua A. N. Pierson kuwa mshiriki. Washiriki saba wa baraza wakati huo walikuwa A. I. Ritchie, W. E. Van Amburgh, H. C. Rockwell, J. D. Wright, I. F. Hoskins, A. N. Pierson, na J. F. Rutherford. Kisha baraza hilo la washiriki saba likachagua Halmashauri ya Utekelezi ya watu watatu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki