Maelezo ya Chini
g Wakati ule Wayonadabu hawakuonwa kuwa “mashahidi wa Yehova.” (Ona Mnara wa Mlinzi (Kiingereza), Agosti 15, 1934, ukurasa 249.) Hata hivyo, miaka michache baadaye, Mnara wa Mlinzi (Kiingereza) la Julai 1, 1942, lilitaarifu hivi: “Hawa ‘kondoo wengine’ [Wayonadabu] wanakuwa mashahidi kwa ajili Yake, kwa namna ileile ambayo watu waaminifu wa kabla ya kifo cha Kristo, tokea Yohana Mbatizaji kurudi nyuma kufika Abeli, walivyokuwa mashahidi kwa ajili ya Yehova wasioacha kamwe.”