Maelezo ya Chini
j Wakati ule, iliaminiwa kwamba wanaume waaminifu wa nyakati za kale, kama vile Abrahamu, Yusufu, na Daudi, wangefufuliwa kabla ya mwisho wa mfumo wa mambo na wangetumikia kuwa “wakuu katika dunia yote,” katika kutimiza Zaburi 45:16. (NW) Maoni hayo yalirekebishwa katika 1950, wakati funzo zaidi la Maandiko lilipoonyesha kwamba mababa hao wa kale wa kidunia wa Yesu Kristo wangefufuliwa baada ya Har–Magedoni.—Ona “Mnara wa Mlinzi,” (Kiingereza) Novemba 1, 1950, kurasa 414-417.