Maelezo ya Chini
h Kwa kielelezo, makala zifuatazo zilitangazwa katika Mnara wa Mlinzi: “Kuutumia Wakati Ubakio kwa Hekima” (Julai 1, 1969 au Mei 1, 1968, Kiingereza); “Tumikia kwa Tumaini la Umilele” (Desemba 15, 1974 au Juni 15, 1974, Kiingereza); “Sababu Hatukuambiwa ‘Siku Ile na Saa Ile’” na “Wewe Unahusikaje kwa Kutojua ‘Siku Ile na Saa Ile’?” (Novemba 1, 1975 au Mei 1, 1975, Kiingereza). Mapema zaidi, katika 1963, kitabu “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa,” kilikuwa kimetaarifu hivi: “Hakuna faida kutumia kronolojia ya Biblia kufanya udhanifu [kukisia] juu ya tarehe ambazo zingali za wakati ujao katika mkondo wa wakati.—Mt. 24:36.”