Maelezo ya Chini
j Msemaji alieleza pia kwamba kuanzia Oktoba 1, 1972, kungekuwako kupokezana zamu kila mwaka kwa uenyekiti ndani ya baraza la wazee wa kutaniko. Mpango huo ulirekebishwa katika 1983, wakati kila baraza la wazee lilipoombwa lipendekeze mwangalizi msimamizi ambaye, baada ya kuwekwa na Sosaiti, angetumikia kwa kipindi cha wakati kisicho dhahiri akiwa mwenyekiti wa baraza la wazee.