Maelezo ya Chini
k Katika 1978, wakati lilipoombwa litoe taarifa kwa ajili ya vyombo vya habari kuhusu msimamo wa Mashahidi wa Yehova kuhusu Uzayoni, Baraza Linaloongoza lilisema hivi: “Mashahidi wa Yehova huendelea kuchukua ule msimamo wa Kibiblia wa kutokuwamo kwa habari ya harakati na serikali zote za kisiasa. Wao wamesadikishwa kwamba hakuna harakati yoyote ya kibinadamu ambayo itatimiza kile ambacho ni ufalme wa kimbingu wa Mungu pekee uwezao kutimiza.”