Maelezo ya Chini
e Ijapokuwa ushahidi waonyesha kwa njia yenye kusadikisha kwenye mwelekezo wa Yehova katika uteuzi wa jina Mashahidi wa Yehova, Mnara wa Mlinzi la Kiingereza (Februari 1, 1944, kur. 42-43; Oktoba 1, 1957, uku. 607) na kitabu “New Heavens and a New Earth” (kur. 231-237) baadaye vilitaja kwamba jina hilo silo lile “jina jipya” lirejezewalo kwenye Isaya 62:2; 65:15; na Ufunuo 2:17, ingawa jina hilo lapatana na uhusiano mpya unaorejezewa katika maandiko hayo mawili katika Isaya.