Maelezo ya Chini
d Maana halisi ya neno lililotumiwa katika maandishi ya Biblia ya Kigiriki (khei·ro·to·neʹo) ni “tandaza, nyoosha, au inua mkono,” na, kwa kupanua, lingeweza pia kumaanisha, “kuteua au kuchagua kwa ajili ya cheo kwa kuinua mikono.”—A Greek and English Lexicon to the New Testament, ya John Parkhurst, 1845, uku. 673.