Maelezo ya Chini
e Jambo la kwamba 1878 ulikuwa mwaka wa maana lilionekana kuwa likitegemezwa na rejezo kwenye Yeremia 16:18 (‘kifani cha Yakobo,’ KJ) pamoja na hesabu zilizoonyesha kwamba miaka 1,845 ilikuwa imepita tangu kifo cha Yakobo hadi kufikia 33 W.K., wakati Israeli wa asili walipotupiliwa mbali, na kwamba ufanani, au mithili, ya hayo ingeenea kuanzia 33 W.K. hadi kufikia 1878.