Maelezo ya Chini
a Kwa kupendeza, jalada la Chapa Yenye Marejezo (1971) ya New American Standard Bible vilevile lilitaarifu hivi: “Hatukutumia jina la msomi yeyote la kurejezewa ama kupendekezwa kwa sababu ni itikadi yetu kwamba Neno la Mungu lapaswa likadiriwe kwa msingi wa ustahili walo lenyewe.”