Maelezo ya Chini
c Ona A Manual Greek Lexicon of the New Testament, ya G. Abbot-Smith, na A Greek-English Lexicon ya Liddell na Scott. Kulingana na vyanzo hivyo na vinginevyo vyenye kutegemeka, neno la Kigiriki humaanisha kihalisi “kusimama kwa utaratibu, kupanga katika mahali fulani.”