Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Neno la Kigiriki linalofasiriwa “akapiga kite” linatoka kwenye kitenzi (em·bri·maʹo·mai) kimaanishacho kuathiriwa sana, au kwa njia ya kuumiza. Msomi mmoja wa Biblia aonyesha hivi: “Hapa laweza kumaanisha tu kwamba Yesu alishikwa kwa nguvu na hisiamoyo yenye kina sana hivi kwamba kupiga kite kulitokezwa moyoni Mwake kwa lazima.” Usemi unaotafsiriwa “kuwa mwenye kutaabika” watokana na neno la Kigiriki (ta·rasʹso) lionyeshalo kufadhaika. Kulingana na mtunga-kamusi fulani, linamaanisha “kumsababishia mtu msukosuko wa kindani, . . . kuathiri kwa umivu au huzuni kubwa.” Usemi huu “akatokwa na machozi” watokana na kitenzi cha Kigiriki (da·kryʹo) kimaanishacho “kudondoa machozi, kutoa machozi kimyakimya.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki