Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Kuhusu watoto wa ndoa zenye dini tofauti, Steven Carr Reuben, Ph.D., katika kitabu chake Raising Jewish Children in a Contemporary World, aonelea hivi: “Watoto hufadhaika wakati wazazi wanapoishi maisha ya kujikana, ya kufadhaika, ya kisiri, na ya kuepuka masuala ya kidini. Wazazi wanapokuwa wazi, wanyoofu, dhahiri juu ya itikadi, kanuni, na njia zao wenyewe za kusherehekea, watoto hukua wakiwa na ile aina ya usalama na hisi ya kuwa wao ni wa maana katika mambo ya kidini ambayo ni ya maana sana kwa habari ya ukuzi wa hali yao ya ujumla ya kujistahi na kujua mahali pao ulimwenguni.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki