Maelezo ya Chini
a Mkristo mchanga akipata mimba kwa sababu ya mwenendo usio wa adili, kutaniko la Kikristo haliachilii kwa vyovyote jambo ambalo amefanya. Lakini akiwa mwenye toba, huenda wazee wa kutaniko na wengine kutanikoni wakataka kumtolea msaada.