Maelezo ya Chini
b Katika nyakati za Biblia, neno “fimbo” (sheʹvet, katika Kiebrania) lilimaanisha “kijiti” au “gongo,” kama lile lililotumiwa na mchungaji.10 Katika muktadha huu fimbo ya mamlaka hudokeza mwongozo wenye upendo, sio unyama wenye udhalimu.—Linganisha Zaburi 23:4.