Maelezo ya Chini
a Mathayo, Marko, na Yohana walikuwa mashahidi waliojionea. Luka alichunguza kitaaluma hati na ushuhuda wa watu waliojionea mambo hayo. Hizo Gospeli zadhihirisha ishara ya kwamba rekodi hizo ni sahihi, zenye kufuatia haki, na zenye kutumainika.—Ona kichapo Kitabu kwa Ajili ya Watu Wote, ukurasa wa 16-17, kilichochapishwa na Watchtower Bible and Tract Society of New York, Inc.