Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

b Qurani yasema: “Jina lake ni Masih, Isa [Kristo Yesu], mwana wa Maryamu, mwenye hishima katika dunia na Akhera.” (Sura 3:45) Akiwa binadamu, Yesu alikuwa mwana wa Maria. Lakini ni baba yupi aliyemzaa? Qurani yasema: “Hali ya Isa [Yesu] kwa Mwenyezi Mungu ni kama hali ya Adam.” (Sura 3:59) Maandiko Matakatifu yasema juu ya Adamu kuwa “mwana wa Mungu.” (Luka 3:23, 38) Wala Adamu wala Yesu hakuwa na baba wa kibinadamu; hakuna mmoja wao aliyezaliwa kutokana na ngono iliyofanywa na mwanamke fulani. Kwa hiyo, Adamu alikuwa mwana wa Mungu, na ndivyo ilivyo na Yesu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki