Maelezo ya Chini
f Ofisa mmoja Mroma mwenye cheo alisikia ushuhuda wa Petro wa mambo aliyojionea: “Nyinyi mwaijua habari iliyoongewa kotekote katika Yudea . . . Mungu alimfufua Huyu katika siku ya tatu na kumruhusu awe dhahiri . . . Alituagiza sisi tuwahubiri watu na kutoa ushahidi kamili kwamba Huyu ndiye aliyeagizwa na Mungu kuwa hakimu wa walio hai na wafu.”—Matendo 2:32; 3:15; 10:34-42.