Maelezo ya Chini
b Nabonido hakuweko Babiloni lilipoanguka. Kwa hiyo, Belshaza atajwa kwa kufaa kuwa mfalme wakati huo. Wachambuzi hubisha kwamba rekodi zisizo za kidini hazimtaji Belshaza kwa cheo rasmi cha mfalme. Hata hivyo, uthibitisho wa kale wadokeza kwamba siku hizo hata liwali angeweza kuitwa mfalme na watu.