Maelezo ya Chini
d Badala yake, orodha iliyopuliziwa ya mtume Paulo ya wanaume na wanawake waaminifu inayotajwa kwenye Waebrania sura ya 11, yaonekana yarejezea kijuujuu tu matukio yaliyorekodiwa katika Danieli. (Danieli 6:16-24; Waebrania 11:32, 33) Hata hivyo, orodha hiyo ya mtume si kamili pia. Kuna wengi kutia ndani Isaya, Yeremia, na Ezekieli, ambao hawatajwi katika orodha hiyo, lakini hilo halithibitishi hata kidogo kwamba hawakuishi.