Maelezo ya Chini
d Jarida Biblical Archaeology Review lataarifu hivi: “Wataalamu Wababiloni waliandika maelfu ya ishara zenye kuashiria mabaya . . . Belshaza alipotaka kujua maana ya maandishi yaliyokuwa ukutani, yawezekana kwamba wenye hekima wa Babiloni walichunguza vitabu vya ishara hizo. Lakini havikuwasaidia.”