Maelezo ya Chini
a Serikali saba za ulimwengu zenye umuhimu wa Kibiblia ni Misri, Ashuru, Babiloni, Umedi na Uajemi, Ugiriki, Roma, na serikali ya ulimwengu ya muungano ya Uingereza na Marekani. Zote hizo zastahili kukaziwa fikira kwa kuwa zimeshughulika na watu wa Yehova.