Maelezo ya Chini
b Unabii katika Danieli sura ya 11 hautaji majina ya tawala zinazofanyiza mfalme wa kaskazini na mfalme wa kusini wa nyakati mbalimbali. Wanajulikana baada tu ya mambo kuanza kutukia. Isitoshe, kwa kuwa mapambano yatukia pindi kwa pindi, kuna vipindi vya kutopambana—mfalme mmoja awa na mamlaka huku yule mwingine akiwa asiyetenda.