Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

b Unabii katika Danieli sura ya 11 hautaji majina ya tawala zinazofanyiza mfalme wa kaskazini na mfalme wa kusini wa nyakati mbalimbali. Wanajulikana baada tu ya mambo kuanza kutukia. Isitoshe, kwa kuwa mapambano yatukia pindi kwa pindi, kuna vipindi vya kutopambana—mfalme mmoja awa na mamlaka huku yule mwingine akiwa asiyetenda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki