Maelezo ya Chini
b Wengine husema kuwa ‘kupitisha motoni’ labda kwamaanisha tu sherehe ya utakaso. Ingawa hivyo, yaonekana kuwa katika muktadha huu usemi huo hurejezea dhabihu halisi. Hakuna shaka yoyote kwamba Wakanaani na Waisraeli waasi-imani walizoea kudhabihu watoto.—Kumbukumbu la Torati 12:31; Zaburi 106:37, 38.