Maelezo ya Chini
b Maneno ya Isaya yadhihirisha mazoea ya kitiba ya siku yake. Mtafiti wa Biblia E. H. Plumptre ataarifu hivi: “Utaratibu uliojaribiwa kwanza ni ‘kufunga’ au ‘kuminya’ kidonda ili kuondoa usaha; kisha, kama katika kisa cha Hezekia (sura ya 38:21), ‘kilizongwa-zongwa,’ na dawa ya kupaka, kisha mafuta fulani au marhamu yenye kutuliza, labda kama katika Luka 10:34, mafuta na divai vilitumiwa kusafisha kidonda hicho.”