Maelezo ya Chini
b Neno la Kiebrania linalotafsiriwa “maovu” pia latafsiriwa “mambo yanayoumiza,” “yaliyo ya ajabu,” na “mapotovu.” Kwa mujibu wa Theological Dictionary of the Old Testament, manabii Waebrania walilitumia neno hilo kushutumu “uovu uliosababishwa na matumizi mabaya ya mamlaka.”