Maelezo ya Chini
b “Walioponyoka” walitia ndani baadhi ya wale waliozaliwa uhamishoni. Hao wangeonwa kuwa ‘wameponyoka,’ kwa maana hawangalizaliwa kamwe ikiwa babu zao hawangaliokoka uharibifu.—Ezra 9:13-15; linganisha Waebrania 7:9, 10.
b “Walioponyoka” walitia ndani baadhi ya wale waliozaliwa uhamishoni. Hao wangeonwa kuwa ‘wameponyoka,’ kwa maana hawangalizaliwa kamwe ikiwa babu zao hawangaliokoka uharibifu.—Ezra 9:13-15; linganisha Waebrania 7:9, 10.