Maelezo ya Chini
a Mwaka wa 66 W.K., kwa sababu ya uasi wa Wayahudi, majeshi ya Roma yakiongozwa na Sesho Galo yalizingira Yerusalemu na kuingia ndani ya jiji hadi kwenye kuta za hekalu. Kisha yakaondoka, hivyo yakiwaruhusu wanafunzi wa Yesu wakimbilie kwenye milima ya Perea kabla ya Waroma kurejea mwaka wa 70 W.K.