Maelezo ya Chini
c Kwa kielelezo, Danieli aliteuliwa kuwa ofisa wa juu katika Babiloni chini ya Wamedi na Waajemi. Na karibu miaka 60 baadaye, Esta akawa malkia wa Mfalme Ahasuero wa Uajemi, naye Mordekai akawa waziri mkuu wa Milki yote ya Uajemi.
c Kwa kielelezo, Danieli aliteuliwa kuwa ofisa wa juu katika Babiloni chini ya Wamedi na Waajemi. Na karibu miaka 60 baadaye, Esta akawa malkia wa Mfalme Ahasuero wa Uajemi, naye Mordekai akawa waziri mkuu wa Milki yote ya Uajemi.