Maelezo ya Chini
a Wasomi fulani hudokeza kwamba usemi “nchi ya uvumi wa mabawa” warejezea nzige ambao husongamana huko Ethiopia mara kwa mara. Wengine husema kuwa sauti ya neno la Kiebrania linalotafsiriwa “uvumi,” tsela·tsalʹ, yafanana na sauti ya jina ambalo Wagala, wanaoishi katika Ethiopia ya sasa, walimwita mbung’o, yaani, tsaltsalya.