Maelezo ya Chini
c Unabii wa Isaya uhusuo kuanguka kwa Babiloni ni sahihi sana hivi kwamba wahakiki fulani wa Biblia wametunga nadharia ya kuwa haikosi uliandikwa baada ya tukio hilo. Lakini kama asemavyo msomi wa Kiebrania F. Delitzsch, makisio hayo hayafai ikiwa twakubali kwamba nabii aweza kupuliziwa kutabiri matukio mamia ya miaka mapema.