Maelezo ya Chini
b Kwa mujibu wa mwanahistoria wa karne ya kwanza, Josephus, kulikuwepo njaa kali sana huko Yerusalemu mwaka wa 70 W.K. hivi kwamba watu wakala ngozi, nyasi, na nyasi kavu. Katika kisa kimoja kilichoripotiwa, mama mmoja alimchoma na kumla mwana wake.