Maelezo ya Chini
d “Wonyesho . . . wa kujivunia” ni usemi uliotumiwa kutafsiri neno la Kigiriki a·la·zo·niʹa, linalofafanuliwa kuwa “maoni yasiyo na heshima na ya bure tu yanayomfanya mtu aweke tumaini katika uthabiti wa vitu vya duniani.”—The New Thayer’s Greek-English Lexicon.