Maelezo ya Chini
a Kufikia wakati wa Malaki, unabii huo ulikuwa umetimizwa. (Malaki 1:3) Malaki asema kuwa Waedomi walitarajia kuimiliki tena nchi yao iliyoachwa ukiwa. (Malaki 1:4) Hata hivyo, hayo hayakuwa mapenzi ya Yehova, na baadaye watu wengine, Wanabatea, waliimiliki nchi iliyokuwa ya Edomu awali.