Maelezo ya Chini
b Kuanzia mstari wa 4 hadi mwisho wa sura hiyo, inaonekana mwandishi anaongea kuhusu yeye mwenyewe. Huenda ikawa Isaya alipatwa na baadhi ya majaribu anayoyataja katika mistari hiyo. Lakini, katika maana kamili, unabii huo unatimizwa kuhusiana na Yesu Kristo.