Maelezo ya Chini
a Kulingana na Ufunuo 12:1-17, “mwanamke” wa Mungu alibarikiwa sana kwa kuzaa ‘mzao’ wa maana sana—si mwana-roho mmoja tu, bali ni Ufalme wa Kimesiya ulio mbinguni. Uzawa huo ulitukia mwaka wa 1914. (Ona Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!, ukurasa wa 177-186.) Unabii wa Isaya unakaza fikira juu ya shangwe ambayo mwanamke huyo anahisi kwa sababu ya baraka ambayo Mungu anawapa wana wake watiwa-mafuta walio duniani.