Maelezo ya Chini
a Baadaye, neno “towashi” lilimaanisha pia kuhusu ofisa aliyetumika eneo la barazani, bila kumaanisha kukatwa kiungo cha uzazi. Bila shaka yule Mwethiopia aliyebatizwa na Filipo alikuwa towashi katika maana hiyo. Sababu ni kwamba, inaonekana towashi huyo alikuwa mwongofu kwa sababu alibatizwa kabla njia haijafunguliwa ya kuingia kwa watu wasiotahiriwa, wasio Wayahudi.—Matendo 8:27-39.