Maelezo ya Chini
a Yaelekea kwamba Tarshishi ilikuwa mahali panapojulikana sasa kuwa Hispania. Hata hivyo, kulingana na vitabu fulani vya marejeo, usemi “merikebu za Tarshishi” unamaanisha aina ya merikebu zinazotumika, yaani “vyombo vya usafiri wa baharini vyenye milingoti mirefu” ambavyo “vilifaa kuenda-enda Tarshishi.” Maana yake, merikebu hizo zilionwa kuwa zinafaa kusafiri-safiri mwendo mrefu hadi bandari za mbali.—1 Wafalme 22:48.