Maelezo ya Chini
c Yehova anasema anastaajabu kwamba hakuna mtu aliyejitolea kumwunga mkono. Kweli ingeweza kustaajabisha kwamba karibu miaka 2,000 baada ya kifo cha Yesu, wenye mamlaka miongoni mwa wanadamu wangali wanapinga mapenzi ya Mungu.—Zaburi 2:2-12; Isaya 59:16.